Followers

Wednesday, May 8, 2019

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi Mjini.

Hapa ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi Mjini, sehemu ambapo itafanyika ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa Dr. Mengi kesho Mei 9, 2019.

#RIPDrMengi



No comments:

Post a Comment

Makonda amchana Mbowe Corona aina Uchama.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba viongozi wa vyama vya siasa nchini, kuungana kwa pamoja katika kipindi h...