Walinzi wa rais Uhuru Kenyatta wamempiga risasi na kumjeruhi mtu aliyejaribu kukwea uzio wa ikulu ya rais jijini Nairobi Kenya.
Kibet Bera ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa 5 wa uhandisi wa mitambo katika chuo kikuu cha sayansi na teknolojia cha Jomo Kenyatta(JKUAT) alipigwa risasi begani na hatimaye kukamatwa baada ya kukaidi amri ya walinzi wa ikulu.
Afisa mkuu wa polisi katika kaunti ndogo ya Kilimani, Michael Muchiri amethibitisha kisa hicho kilichotokea siku moja baada ya Bera kuandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kuwa angeshambulia ikulu kutekeleza agizo aliopewa na 'mungu'.
Followers
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Makonda amchana Mbowe Corona aina Uchama.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba viongozi wa vyama vya siasa nchini, kuungana kwa pamoja katika kipindi h...

-
Wakina mama wanasema gari lililobeba mwili wa mpendwa wetu Dr. Reginald Mengi likipita katika khanga na vitenge vyao, itakuwa ni baraka kwa...
-
Walinzi wa rais Uhuru Kenyatta wamempiga risasi na kumjeruhi mtu aliyejaribu kukwea uzio wa ikulu ya rais jijini Nairobi Kenya. Kibet Be...
-
Matokeo ya darasa la saba 2019 haya hapa TUESDAY OCTOBER 15 2019 Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk Ch...
No comments:
Post a Comment