Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi Mjini.
Hapa ni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Usharika wa Moshi Mjini, sehemu ambapo itafanyika ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa Dr. Mengi kesho Mei 9, 2019.
No comments:
Post a Comment