Thursday, May 9, 2019

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WATIKISA.

Muonekano wa sasa wa jengo jipya la abiria katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JNIA.

Jengo hilo limesanifiwa kwa viwango vya kimataifa vya daraja 'C' vya Usafiri wa Anga (IATA) na linatarajiwa kuwa kituo kikuu cha usafiri wa anga na kuleta tija kwa Tanzania.

Weka komenti yako hapo chini.



No comments:

Post a Comment