Wednesday, May 8, 2019

Mkuu wa wilaya ya Hai

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ni miongoni mwa waombolezaji waliofika hapa kati
ka Uwanja wa Ndege wa KIA, tayari kuupokea mwili wa mpendwa wetu Dr. Mengi.

#RIPDrMengi

1 comment: