Wednesday, May 8, 2019

Kwalichofanya Wakina Mama Uko Mkoani Hai.

Wakina mama wanasema gari lililobeba mwili wa mpendwa wetu Dr. Reginald Mengi likipita katika khanga na vitenge vyao, itakuwa ni baraka kwao kwa yale mema aliyoyatenda.

#RIPDrMengi

No comments:

Post a Comment