Friday, May 10, 2019

SERIKALI KUONGEZA NDEGE NYINGINE



Ili kuboresha utendaji wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL) kwa mwaka wa fedha 2019/2020 serikali imetenga fedha kwa ajili ya kukamilisha malipo ya Ndege ya Pili aina ya Boeing 787 Dreamliner na ndege ya nne aina ya Bombadier Q400

Pia itafanya malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mbili mpya aina ya A220-300

Ununuzi wa ndege moja aina ya Bombadier Q400 na injini ya akiba kwa ajili ya ndege aina ya Bombadier Q400


No comments:

Post a Comment