Timu ya Manchester City imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu nchini England #EPL kwa mara ya pili mfululizo baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wake wa mwisho uliomalizika hivi punde na kuhitimisha msimu ikiwa kileleni.
Man City wakiwa ugenini wameichapa Brighton & Hove Albion mabao 4-1 na kufikisha pointi 98 juu ya wapinzani wao wa karibu Liverpool ambao nao wameshinda 2-0 dhidi ya Wolves na kumaliza msimu wakiwa nafasi ya pili na pointi 97.
Neno moja la pongezi kwao, huku ukitoa maoni yako unadhani nini kinawaangusha Liverpool kwenye #EPL?
No comments:
Post a Comment