Followers

Monday, October 14, 2019

Kimewaka Uchaguzi wa Serikali ya Mtaa Mzingani - Tanga.

Malalamiko ya Bahadi ya wagombea tulio hojiana nao.
Katika kata ya mzingani tanga mjini katika uchaguzi wa uenyekiti wa serikali ya mtaa.wagombea tumechukua form na tumerudisha zimejadiliwa tawi na mapendekezo yamepekekwa kata hapo kata diwani amebadilisha maksi na mapendezo ya tawi na kuweka ya kwake ili awapitishe watu wake ambao Tunawaifazi Kwa majina na Leo baada ya kubadilisha maksi ameamrisha wapeleke wilaya kwa maana huyo diwani anakiuka katiba ya chama na kuvuruga chama na kugawa watu.


Tunaomba uongozi wa juu mfuatilie hili pia jana katika kikao cha kata amekuna mkurugenzi na kumfokea Katibu na kumwambia mgombea  asiwekewe mwenzake akatwe cha ajabu mkurugenzi inakuaje anakuja katika kikao cha chama na kumpa maagizo kwa kumlazimisha Katibu wa kata kua ahakikishe kampira anapita

Huyu diwani kwa mini analazimisha kwamba watu wake wapitishwe inamaana gani kutuletea form na inamaana gani kuweka makatibu wa matawi kama max na mapendekezo diwani anayafuta na kuandika yakwake
https://www.facebook.com/223171508350475/posts/394219847912306/?app=fbl

Tuwekee Commenti yako hapo chini. 

No comments:

Post a Comment

Makonda amchana Mbowe Corona aina Uchama.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba viongozi wa vyama vya siasa nchini, kuungana kwa pamoja katika kipindi h...