Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 23.05.2019: Terry, Cancelo, Trippier, Rakitic, Wan-B Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 23.05.2019: Terry, Cancelo, Trippier, Rakitic, Wan-Bissaka
Saa 2 zilizopita
Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii WhatsApp Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Twitter Mshirikishe mwenzako David milanzi

Nahodha wa zamani wa England na Chelsea John Terry, ambaye kwa sasa ni naibu meneja wa Aston Villa, anashauriana na Middlesbrough kuhusu uwezekano wa kuwa maneja wao mpya.(Talksport)
Manchester City wanakaribia kumsajili beki wa Ureno Joao Cancelo, 24, ambaye thamani yake inakadiriwa na Juventus kuwa euro milioni 60. (Record - in Portuguese)
Atletico Madrid na Napoli wanapania kumsajili beki wa kulia wa Tottenham na mchezaji wa kimataifa wa England Kieran Tripper, 28. (Mirror)
No comments:
Post a Comment