Followers
Friday, May 10, 2019
SERIKALI KUONGEZA NDEGE NYINGINE
Ili kuboresha utendaji wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL) kwa mwaka wa fedha 2019/2020 serikali imetenga fedha kwa ajili ya kukamilisha malipo ya Ndege ya Pili aina ya Boeing 787 Dreamliner na ndege ya nne aina ya Bombadier Q400
Pia itafanya malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mbili mpya aina ya A220-300
Ununuzi wa ndege moja aina ya Bombadier Q400 na injini ya akiba kwa ajili ya ndege aina ya Bombadier Q400
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Makonda amchana Mbowe Corona aina Uchama.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba viongozi wa vyama vya siasa nchini, kuungana kwa pamoja katika kipindi h...

-
Wakina mama wanasema gari lililobeba mwili wa mpendwa wetu Dr. Reginald Mengi likipita katika khanga na vitenge vyao, itakuwa ni baraka kwa...
-
Walinzi wa rais Uhuru Kenyatta wamempiga risasi na kumjeruhi mtu aliyejaribu kukwea uzio wa ikulu ya rais jijini Nairobi Kenya. Kibet Be...
-
Matokeo ya darasa la saba 2019 haya hapa TUESDAY OCTOBER 15 2019 Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk Ch...
No comments:
Post a Comment